Na Gurian Adolf
Sumbawanga
TABIA ya wanawake wajawazito mkoani Rukwa kuto hudhuria huduma za kliniki ni miongoni mwa sababu zinazo changia kurudisha nyuma jitihata za kukabiliana vifo vya wajawazito na watoto wachanga mkoani humo.
Mganga mkuu wa mkoa huo Bonifas Kasululu aliyasema hayo jana wakati akiwasilisha mada katika uzinduzi wa mradi wa mama na mwana mkoani Rukwa ambao utatekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu kuanzia mwaka 2018 hadi mwaka 2020 na utagharimu kiasi cha shilingi bilioni 25.Sumbawanga
TABIA ya wanawake wajawazito mkoani Rukwa kuto hudhuria huduma za kliniki ni miongoni mwa sababu zinazo changia kurudisha nyuma jitihata za kukabiliana vifo vya wajawazito na watoto wachanga mkoani humo.
No comments:
Post a Comment