Friday 29 May 2015

WAZIRI MKUU PINDA AHUTUBIA SHEREHE ZA MIAKA 25 WA TAWLA

https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEioMLOSYeQgoRODWi5BMjj_LfAuhxMv6mTsS7r1_NA_FQOhc0Wi7yIj3N7-8mj9stzgeRO8sOtbKxjvgHz6_uBwHMFEh3NJO_P_r8S0SlZhn15wE2crWdD_cHXepk3IZqA0tIRBX8l842_t/s1600/IMGL7391.JPG


  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza wakati alipozindua Uandishi wa
Wosia katiak sherehe za miaka 25 ya Chama cha Wanasheria Wananwake
(TAWLA0 kwenye viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam Mei 30,
2015.Kushoto ni balozi wa Sweden nchini, Lennarth Hjelaker


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjS5XpRshgGkp58excMHPNKvQYbT_7iaAyCzPdjqGRIllxz6_2gykUyPrrv2yyLMLisUrftVP0izA0wynQyrwRMm8AGiUdmV4sMfJUZyQhgiXPpA1y50_-da5cqAVTAFonryuTasWrv9P9B/s1600/IMGL7452.JPG

 7452  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na
Balozi Mwanaidi Maajar baada ya kuhutubia katika sherehe za siku ya
Wanasheria Wananwakde Tanzania Tawla , kwenye viwanja vya  Karimjee
jijini Dar es salaam Mei 30, 2015.



https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhsL28YPlL-H6Wo2In6XwoWVq2ojJ_p2ME4XUaevLUwnhW-07X-wxlfbznrTKK0Xh-9ws7oCaeiUcam5wl8Hkc5noLnFE_PqPT4QqLz2doigWLuLd63dAvnArKQnz0rj-8ZGA8SbITGSyKT/s1600/IMGL7506.JPG
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Balozi wa Sweden Nchini, Lennarth
Hjelaker baada ya kuhutubia katika sherehe za kuadhimisha miaka 25 ya
Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) kwenye viwanja vya
 Karimjee  jijini Dar es salaam Mei 30, 2015.


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEihDuSUawkqTG9Cd0EoQZGQ0gpE1gk6_Lt4cwoLo4Wp5Zzlc-WLXhDxfmuN1qX7Ov2j5oEYq_on3k7SWh1VlkULk3eoKU5cvHP3xma2mOEvjcUSC4b3psbSfkH3gtbAAn9dLJ_cWYcf_jiZ/s1600/IMGL7426.JPG

  Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya
wanachama wa Chama cha Wanasheria Wanawake Tanzania (TAWLA) baada ya
kuhutubia katika sherehe za miaka 25 ya chama hicho kwenye viwanja vya
 Karimjee jijini Dar es salaam Mei 30, 2015. Aliyekaa wapili kulia ni
balozi wa Sweden nchini, Lennarth Hjelaker.


https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEiTGdHHEPf8xXiTuZXXXEoBrj4oJtc39DrkZ0tEYzVvhxVW0CsX3n2-1hULQCdZ-OYIbPy9jh1io7bt7lVqRgwvwyWyM2y0N6l8QpW79E2oZwvXjzR2T7QJwkEKjqVDjDGWbWRkgL9r2WsA/s1600/IMGL7337.JPG

   Baadhi ya wananchama wa Chama cha Wanasheria Wananwake (TAWLA)
wakipita kwa maandamano mbele ya mgeni rasmi Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
katika sherehe za miaka 25 ya TAWLA zilizofanyika kwenye viwanja vya
Karimjee jijini Dar es slaam Mei 30, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu).

No comments:

Post a Comment