Na Gurian Adolf
Sumbawanga
IMEBAINIKA kuwa miradi mingi ya maji imekuwa ikitekelezwa chini ya kiwango kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kutozingatia sheria ya manunuzi(PPRA) na hivyo kuisababishia serikali hasara.
Hayo
yalibainishwa jana na waziri wa maji na umwagiliaji mhandisi Isac
Kamwelwe wakati akikagua mradi wa maji uliopo katika mji mdogo wa Laela
wilayani Sumbawanga mkoani Rukwa alipokuwa katika ziara yake ya kikazi
mkoani humo.Sumbawanga
IMEBAINIKA kuwa miradi mingi ya maji imekuwa ikitekelezwa chini ya kiwango kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo ya kutozingatia sheria ya manunuzi(PPRA) na hivyo kuisababishia serikali hasara.
No comments:
Post a Comment