Sunday, 30 April 2017

Kijana anusurika kifo baada ya baiskeli aliyokuwa anaendesha kugongwa na gari

Kizlen Rehan
Sumbawanga

KIJANA ambaye hakuweza kufahamika jina lake wala anapoishi amenusurika kifo  majira ya asubuhi katika maeneo ya benki ya NMB mjini Sumbawanga mkoani Rukwa,baada ya baiskeli aliyokuwa akiendesha kugongwa na gari.

Tukio hilo lilitokea ghafla Mara baada ya gari kuigonga baiskeli hiyo na kusababisha taili la  mbele kupinda  mara baada ya gari hilo kuigonga baiskeli hiyo.

Mwandishi wa habari hii alishuhudia tukio hilo ambapo anasimulia kuwa gari hilo lilipoteza uelekeo na kwenda kuigonga baiskeli hiyo.

Pamoja na kuharibika baiskeli hiyo lakini mtu ambaye jina  lake halikufahamika Mara moja aliyekuwa anaendesha baiskeli hiyo alinusurika.

Baada ya tukio hilo polisi wa usalama  barabarani walifika muda mfupi na kufanya uchunguzi wa tukio hilo.

Hata hivyo taratibu za kisheria zinaendelea kufuatia tukio hilo kwani askali hao wa usalama barabarani waliwachukua watu waliohusika na tukio hilo na kuelekea nao katika kituo cha polisi kilichopo mjini Sumbawanga.

Mwisho

2 comments:

  1. Ukiwa umefanya kazi maisha yako yote kujenga familia na urithi, huwezi kuruhusu kivuli cha mtu wa tatu kiiharibu katika miezi michache tu. Niligundua kuwa mabadiliko ya ghafla ya tabia ya mume wangu yalikuwa kuingiliwa kiroho, si tu mgogoro wa katikati ya maisha.

    Niliwasiliana na Mystic Kakaa kwa ajili ya uingiliaji kati wa kibinafsi. Kazi yake ilikuwa ya upasuaji. Alitambua kivuli na kukiondoa kabisa bila drama yoyote ya umma. Ndani ya siku 5, umakini wa mume wangu ulirudi nyumbani kwetu na katika mustakabali wetu. Ikiwa unalinda maisha yenye thamani kubwa na unahitaji bwana anayeelewa busara, wasiliana naye kwa: dawnacuna314@gmail.com

    WhatsApp: +2349046229159

    Yeye ndiye kiwango cha dhahabu.
    Kwa uchawi wa upatanisho wa uhusiano/ndoa.

    Uchawi wa kumfanya mpenzi wako wa zamani/mwenzi wako aombe msamaha.

    Uchawi wa kumrudisha mpenzi wako/kumvutia mpenzi mpya.

    Uchawi wa kurejesha mali/pesa zilizoibiwa.

    Mabadiliko ya umbo/Uchawi wa kutoweka.

    Uchawi wa kushinda bahati nasibu/kesi ya mahakama. Na zaidi

    ReplyDelete
  2. I want to give a testimony on how I got cured from Herpes Virus. Few months back I was having some symptoms. I went to see a doctor and many blood tests were done on me, later on I was told I had Herpes. My doctor told me that there’s no cure for Herpes. I felt bad, I went online searching for a possible cure for Herpes Virus, I saw a post of Dr. Dawn, a herbal doctor that’s helping people get cured from Herpes.Cancer.HIV and more I contacted him and told him how I’m feeling. He said his herbal medicine can cure me. He sent me the medicine via UPS delivery service and I received the medicine 6 days after he sent it, i took the medicine as prescribed by him. Before I completed the medication the symptoms stopped. I went to the doctor and carried out another blood test, surprisingly I was Negative. I haven’t had any symptoms anymore. Dr. Dawn is great and you can
    contact on WhatsApp: +2349046229159
    Gmail ( dawnacuna314@gmail.com )

    If you need herbal medicine to cure any chronic or sexual transmitted disease's like.
    HERPES.
    CANCER.
    HIV/AID'S and more

    ReplyDelete