Wednesday, 27 May 2015

BALOZI WA OMAN AKUTANA NA RAIS WA ZANZIBAR DK. SHEIN


1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein akipokea Hundi ya Tanzania Shilingi billioni 12.3 kutoka Balozi   wa Oman  Nchini Tanzania Mhe. Saoud Al Ruqaishi ikiwa ni msaada  kwa ajili ya ununuzi wa Vifaa kwa  kiwanda cha upikaji Chapa (kushoto  Balozi Mdogo wa Oman aliyepo Zanzibar Mhe, Ali Abdulla Al-Rashdi  hafla ya makabidhiani ilifanyika Ikulu Mjini Zanzibar jana. (Picha na Ikulu).

NYOTA YA LOWASSA YAZIDI KUNG’ARA AWAPIKU WENZAKE KWA ASILIMIA 20 NI KATIKA KUWANIA URAIS WA TANZANIA

Mtafiti Mkuu wa Taasisi ya Samunge Social Research Centre, George Nyaronga kutoka Chuo Kikuu Huria (OUT).

AKI NA UKWA WA BONGO WAELEZEA MAFANIKIO YAO KWENYE TASNIA YA FILAMU

Kushoto ni Meya Shabani a.k.a Aki akiwa na mwenzake Nicholaus Ngoda a.k.a Ukwa nje ya ofisi yao.

No comments:

Post a Comment